Wadada jamani mko wapi ebu njooen tuyajenge....kuna waengne wanazani mm natafuta mtu wa kutumia kwa muda lahasha....uki PM uwe na uhakika kuwa uko tayar kuwa na mtu..
...ctak kupotezeana muda jmn
Unachokijuwa mm nilishakitambua toka kitambo kaka....na kwa taarifa yako huku ndo kwa kupata mke kukiko huko kutafuta mitaan kama unavyofanya wewe....huku ndo kwenye ndoa kaka...ni mtu mwenyewe anajitoa kuwa na kwake kwa mashat tajwa...lakn pia kila mtu na utaratbu wake kaka.....katba ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.