Recent content by nore88

  1. N

    Dalili nyingi mwilini na vipimo sijapata

    RBG kwa zahanati za kawaida hizidi dk 10 unapata majibu na gharama yake haizidi 5000
  2. N

    Siasa za CCM zinawavuruga CHADEMA

    Siasa zetu zinapitia changamoto kwa mtazamo wangu naona upinzani unaelekea kuimarika. Usiombe kukutana na nguruwe alijeruhiwa hivyo ndivyo itakavyo kuwa kwa upinzani miaka michache ijayo. Naona kutakua na standard za watu mashuhuri katika chama amabazo sasa hawana na wameshashuhudia madhara yake.
Back
Top Bottom