Recent content by Norbert ntakisigaye

  1. Norbert ntakisigaye

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Houthi Ahmed al-Rahawi, ameuawa na Israel

    Ndio nimefungua u tube Nashangaa hii habari aiseeh wamebe eliminated for sure.
  2. Norbert ntakisigaye

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyau adai Gaza hakuna njaa, wamekuwa wakiruhusu misaada kipindi chote cha vita

    Wengine wanafaidi matunda ya ujinga wengine wanakufa kwa njaa
  3. Norbert ntakisigaye

    JamiiForums Tanzania Nani anahusika na mateso ya Wapalestina huko Gaza?

    Hatari sana
  4. Norbert ntakisigaye

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya nchi hii chanzo ni ndugu Nyerere

    Matahahira hawawezi kukuelewa hasa huyu mleta Uzi.Mchunguze umri,shule na vyuo alivyosoma utagundua TU kwa nini eneo analohubiria Mwamposa wanajeshi wa Tanzania walikuwa wanapategemea kwa nyama za makopo na biscuits kipindi Cha vita vya Kagera.Hawa vijana wajinga sana Tembeleeni viwanda vya Moro...
  5. Norbert ntakisigaye

    JamiiForums Tanzania Iran yaionya Israel kuwa kama Israel itashambulia vinu vyake vya Nyuklia basi na yenyewe itashambulia vinu vya Israel vya Nyukilia

    We jamaa unajua historia vizuri sana huyu mwingine ni ubishi tu,USA aliingilia vita baada ya mvutano wa kivita kati ya Japan na Marekani,Wajapani walikuwa Wana vikosi vyao vya ndege za kamikaze zilizoongozwa na marubani wakujitoa mhanga ambazo zilishambulia sana meli za kivita za...
  6. Norbert ntakisigaye

    JamiiForums Tanzania Mambo Makuu 18 yaliyoongelewa na Bunge la Ulaya Kuhusu Tanzania haya hapa

    JE, KWA NINI WATU WANATUINGILIA? TAFAKARI YA TAIFA LETU TANZANIA Kumekuwa na mijadala mingi mitandaoni na katika majukwaa ya kiraia kuhusu kwa nini mataifa ya nje mara kwa mara yanakuwa na kauli, ushawishi au mashinikizo dhidi ya Tanzania. Wapo wanaohoji, kwa hasira au mshangao, kwa nini...
  7. Norbert ntakisigaye

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu yuko Gerezani, hana mawasiliano na mtu yeyote, kishindo chake kinatikisha Dunia nzima. Bado mnamchukulia poa?

    JE, KWA NINI WATU WANATUINGILIA? TAFAKARI YA TAIFA LETU TANZANIA Kumekuwa na mijadala mingi mitandaoni na katika majukwaa ya kiraia kuhusu kwa nini mataifa ya nje mara kwa mara yanakuwa na kauli, ushawishi au mashinikizo dhidi ya Tanzania. Wapo wanaohoji, kwa hasira au mshangao, kwa nini...
  8. Norbert ntakisigaye

    JamiiForums Tanzania Je, ni sawa Bunge la EU kuingilia uhuru wa mahakama zetu lakini si sawa AG wetu kufanya hivyo? Kisa ni hizo USD 170 million kwa mwaka wanazotupa

    JE, KWA NINI WATU WANATUINGILIA? TAFAKARI YA TAIFA LETU TANZANIA Kumekuwa na mijadala mingi mitandaoni na katika majukwaa ya kiraia kuhusu kwa nini mataifa ya nje mara kwa mara yanakuwa na kauli, ushawishi au mashinikizo dhidi ya Tanzania. Wapo wanaohoji, kwa hasira au mshangao, kwa nini...
  9. Norbert ntakisigaye

    JamiiForums Tanzania Hangover ya Colonialism bado inawasumbua nchi za Ulaya - Bunge la Ulaya likiongozwa na Ujerumani walioua Babu zetu na kuwatesa

    Kwa hiyo majirani wakisikia unampiga mkeo au mwanao unajeruhi mke anapiga mayowe kuomba msaada kwa majirani,kwa hiyo unataka majirani wakae kimya mpaka uue?Ndio furaha Yako eeeh?
  10. Norbert ntakisigaye

    JamiiForums Tanzania Zaidi ya ndege 30 za Israel zimeanza kunyesha mabomu ndani ya Yemen

    Nilijua TU,Mr.Neta Huwa hacheki na nyani akisema nitalipiza ujue kesha Fanya yake,ndani ya masaa 48 MTU Kesha pigwa.
  11. Norbert ntakisigaye

    JamiiForums Tanzania Huu ni ubabe, si tena kujilinda, Yemen walifanikiwa kupenyeza kombora moja tu, kulikuwa hakuna sababu Israel kujibu kwa ndege 30 na makombora 48

    Acha wachapike si wamenunua ugomvi usiowahusu,nchi masikini inataka vita.
  12. Norbert ntakisigaye

    JamiiForums Tanzania Kombora la Yemen la Hypersonic lapiga Israel majeruhi kibao

    Limeanguka MITA chache kutoka uwanja wa ndege,hakuna vifo au majeruhi ila magari machache yamedhurika.
Back
Top Bottom