Recent content by Nonoo

  1. N

    Kupinga wagombea huru, ni uamuzi wa "Kipumbavu"

    MM, nimependa mahojiano yako na mheshimiwa Marmo, umemuuliza maswali magumu japokuwa alikuwa anatoa majibu mepesi kwa maswali magumu. Tunahitaji watu wa aina yako, maana nilikuwa natatizika wakati mheshimiwa rais akiwa anaongea na waandishi, hayo maswali wanayouliza huwa naamua kuzima tv.
  2. N

    I'm going through hell!...should i keep going?

    Achana nae before worse comes to worse. Tafuta dada mwenye umri mkubwa kidogo. Age matters a lot. You people like the young ones, lakini matatizo yake ni kama hayo. Go for someone aneweza kuvumiliana kwa matatizo ambayo ni ya kawaida katika ndoa. Pole sana lakini better run away before it's...
Back
Top Bottom