Recent content by NONONNO

  1. N

    JamiiForums Tanzania Mvuto na upepo wa Magufuli umepotea au mitandao tu?

    Huo ndio ukweli japo wengi wetu hatupendi hili. Ila visasi sio njia sahihi ya kuleta maendeleo. Ni vizuri kuamini ya kwamba sio lazima kila mtu akukubali kimtazamo au kimawazo au wewe kama mtu binafsi na bado mkabakia kuishi kama marafiki.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Bukoba vs Moshi

    Huu uzi wa kitoto sana. Halafu naona wana JF humu nao wamevutika kwa mjadala usio na tija. Mi natoka Lindi tuanze basi mjadala kati ya lindi na singida
  3. N

    JamiiForums Tanzania Mmiliki wa Facebook na wafanyakazi wake washerehekea kupitishwa kwa sheria ya ndoa ya jinsia moja!

    Hi umewahi japo kusikia au kushuhudia viumbe hai wengine wote walio chini ya jua wenye tabia hii? watafiti tusaidieni hapa.
Back
Top Bottom