Recent content by Nominii

  1. Nominii

    Tuliowahi kula wasanii wakubwa wakubwa tujuane

    Elf 5 tu Yamatumizi naitoa kwa taaaaabuuuuuuuuu sembuse 600k yaan Bati bomba bando mbili
  2. Nominii

    TANESCO mmeniunguzia TV yangu ya 2M

    nimeshauriw nitumie kifaa kinaitwa AVR japo alieniuzia TV anasem haijaungua ni imezima cjui nn uko kun kakifaa kipo kw TV kinapima umeme ukizid kinaungua icho tu badala ya TV nzima hapa nampelekea kikabadilishwe
  3. Nominii

    TANESCO mmeniunguzia TV yangu ya 2M

    Tuanze kunywa asubuh ishafika
  4. Nominii

    TANESCO mmeniunguzia TV yangu ya 2M

    kanichukulia mshamba kwamb naend nunua TV nisioijua
  5. Nominii

    TANESCO mmeniunguzia TV yangu ya 2M

    Stablizer + Tv guard vilikuepo aseee lkn ndio ivo vyote chali
  6. Nominii

    TANESCO mmeniunguzia TV yangu ya 2M

    mkuu sio 80 tu ipo ya 150k lakn nayo haijaelew kilichotojea mkuu umeme umerud mwing vibaya san mpk soket brek ikakata huko pengine madhara yangeongezek
  7. Nominii

    TANESCO mmeniunguzia TV yangu ya 2M

    mkuu nilipewa TV gurd buureee kama offer ya manunuz nimeiweka apo ukutan lakn waaap
  8. Nominii

    TANESCO mmeniunguzia TV yangu ya 2M

    nimewapigia wamesema hawajakata umeme siku mbili
  9. Nominii

    TANESCO mmeniunguzia TV yangu ya 2M

    nimewapigia wamesema hawajakata umeme wao kwa siku mbili
  10. Nominii

    TANESCO mmeniunguzia TV yangu ya 2M

    ilikuwepo ukutan enyew haijaelew kilichokuwepo
  11. Nominii

    TANESCO mmeniunguzia TV yangu ya 2M

    imebidi tuangalie kwa jiran maan azam two imeteka familia sana
  12. Nominii

    TANESCO mmeniunguzia TV yangu ya 2M

    ipo lakin sijui imekuaje nikinunua nilipewa TV guard kama offa
Back
Top Bottom