kuna nyanya fulani niliwahi kununua kariakoo, hii nyanya niliambiwa
inatoka wilaya ya rushoto.mbegu yake niliambiwa inaitwa
[DUMUDUMU] ina asili ya ugumu hivi, ilikuwa inachukua muda
mrefu kuharibika. Kama kuna anaeifamu vizuri mbegu hii naomba
atufafanulie vizuri ahsante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.