Interview za Tutorial Assistant kada ya Computer Science.
Kwa anayejua au kumbuka maswali yanayoulizwa (written/oral) naomba aweke nondo humu, tafadhali.
Pole Sana ndugu, hawa jamaa wanajivuta Sana, na sidhan Kama ni rafiki Kwa mizigo midogo. Ila pia nilishawahi tumia USPS (shirika la posta la marekani) gharama ni za kawaida sana, na mizigo inakuja mpaka pale posta Dar, kama ni ushuru utamaliza pale, na mara nyingi mizigo midogo hulipi hata...
Asante sana Kwa michango yenu wadau, mana nilishawahi tumia huduma za DHL, aisee hawa jamaa wako very professional na on time, na gharama nafuu(at least Kwa mizigo nilio agizaga) hawakua na Kona Kona nyingi kama hawa FedEx, clearance charges zao nafuu sana(mbali na customs fee) na wanafanya...
Kuna mzigo wangu(laptop) umefika Dar Kwa kutumia FedEx, Mimi npo Dom (na nililipa Pesa ya na nauli na kuweka address ya Dom). Lakin naona mzigo umefika upo customs, ila wamenipigia simu ili kufanya mchakato wa kufanya clearance, lakini bado wanataka Pesa nyingine 118000(Kwa ajil ya kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.