Wewe kweli nyumbu. 🤣🤣ungefurahi kuwa huyu mdhambi kaongoka pamoja na mimi kutokujua ukamirifu wako wewe kwa Mungu. Nini maana ya toba kwa dini za imani zote duniani? Unaleta siasa hata kwenye mahusiano ya mtu na Mungu wake. Toba ni haki ya kila binadamu iliyowekwa na Mwenyezi Mungu bila...
Acha comedy 😂😂😂 hayo unayosema hayana ukweli hata punje. Labda DRC ndio kuna vituko hivyo. Hapa kwetu hakuna huo usanii. Ndio maana tunakwenda nchi za nje. Haina maana hatuna mapungufu katika utoaji wa huduma kama kuchelewesha ndege
Nimecheka kufa. Wewe hujui ndege inaendeshwa vipi. Ndege haindoki kama haina mafuta ya kutosha kufika aendako na akiba ya dharura kwenda uwanja wa dharura. Hakuna rubani mjinga hivyo maana ndege haina break huko angani
Vizuri sana theorist!:D:D Ebu share na sisi financial statements za Precision tuone kuwa operating cost ni sawa na revenue. Hapo nita withdraw statement yangu otherwise it stands.
Sioni logic kwenye maswali yako na swali ulilouliza mwanzo. Essence ya low cost carrier kama fastjet alivyokuwa akijinasibu ni volume ya passengers na management ya operating cost!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.