JamiiForums Tanzania
Udom jaman
wale wa 1st round nao wanavyotuchefua,,,,kila mda wanaulizana mambo ya chuo,kwenda kulipa ada,kureport sijui admission leter washachukua...wanaendelea kutunanilii.mtu ukikaa kila mara ni kuangalia profile mda network ikisumbua kidogo unahisi kujikojolea