Recent content by nny

  1. N

    UDOM(sielewi)

    selected from nacte ila udom ndio hawajatoa jina langu
  2. N

    UDOM(sielewi)

    I don't know what to do,,sijui elim kwangu ndio basi tena
  3. N

    UDOM(sielewi)

    form four nina C mbili na D nne..nina diploma ya record management gpa ya 4.6 na nilichaguliwa kwenda kusomea commerce in human resource management
  4. N

    UDOM(sielewi)

    nimechaguliwa chuo cha udom kupitia nacte na nina GPA ya 4.6 ila majina yaliyotoka jana sipo sasa sijui ndio ishatoka hivyo au watatoa batch 3
  5. N

    jaman udom vip???

    salvina george Edward course ni commerce in human resource management..niangalizie plz
  6. N

    Kwa wale wa NACTE degree

    umejiconfirm vipi mwenyewe
  7. N

    Wale wa UDOM tuliotumiwa SMS kutoka CRDB tukutane

    na ambao hatujatumiwa ndio hatujulikani au
  8. N

    jaman udom vip???

    tunashukuru sana mkuu coz tunasubiri sana....tunaomba uwe unatupia update basi kama mambo takiwa sawa au la
  9. N

    Kwanini UDOM haina PROSPECTUS?

    inachosha sana,,,wanataka waachie lini wakati siku zinasogea
  10. N

    Udom jaman

    wale wa 1st round nao wanavyotuchefua,,,,kila mda wanaulizana mambo ya chuo,kwenda kulipa ada,kureport sijui admission leter washachukua...wanaendelea kutunanilii.mtu ukikaa kila mara ni kuangalia profile mda network ikisumbua kidogo unahisi kujikojolea
  11. N

    Udom jaman

    Yaani kusubiri confirmation siku zote hizo mpaka tunakonda ndio nn
  12. N

    Confirmation from Chuo

    mm mwenyewe nimepangiwa udom ila kwenye majina ya waudom sipo
  13. N

    confirmation

    hatariiii,,nao si watoe majibu haraka tujue tupo wapi
  14. N

    direct fees

    nimechaguliwa udom naona direct fee sh 265000,,hii imejumuishwa nn na nn...ndio hostel,bima ya afya au..sielewi wandugu
  15. N

    confirmation

    hivi inaweza ikatokea ushapangiwa kama hivyo halafu chuo wakukatae
Back
Top Bottom