Soma mada vizur ww. Bei imeulizwa ni kweli lakini kuna ishu ya risk na advantage zake pia alitaka kujua
Sasa V8 model ipi? series ipi? Ndio kitu wana JF wanajadili.....!
Ukiona bei haijatajwa manake madalali hawajapita bado.
Sawa chief
Braza hiyo 1litre per 9kms ni kwa safari ndefu labda (Highway Driving) ila kwa mizunguko ya town tu bana inabugia 1 litre per 5kms braza, piston 8 ila najua jamaa anajiweza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.