Recent content by Nkya pj

  1. Nkya pj

    Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

    Ina maana mimi nikiwa na Lamborghini aventador nikuache uende tu? Kwan unalinganisha na gari gani Labda vitz, starlet, passo
  2. Nkya pj

    Land cruiser v8

    Ikitegemea sana hali utakayoikuta kwa wakati huo Inaweza ikawa zaidi pia......!
  3. Nkya pj

    Land cruiser v8

    Mnapoongela V8 iliyosimama Yard andaeni (195-230) Mil
  4. Nkya pj

    Land cruiser v8

    You have facts big man. Wakishindwa kukuelewa watapata tabu sana.......! Having money VS managing your money [emoji106]
  5. Nkya pj

    Land cruiser v8

    Soma mada vizur ww. Bei imeulizwa ni kweli lakini kuna ishu ya risk na advantage zake pia alitaka kujua Sasa V8 model ipi? series ipi? Ndio kitu wana JF wanajadili.....! Ukiona bei haijatajwa manake madalali hawajapita bado. Sawa chief
  6. Nkya pj

    Land cruiser v8

    Kweli petrol inapeleka sana kuliko diesel ni kweli ila ni kiasi cha 15km kweli
  7. Nkya pj

    Land cruiser v8

    Hivi Vx limited ina v-type engine? Pia ina piston 8?
  8. Nkya pj

    Land cruiser v8

    Wataalam wa mambo. Safi sanaa Inline 6 cylinder (very technical)
  9. Nkya pj

    Land cruiser v8

    [emoji23]
  10. Nkya pj

    Land cruiser v8

    Braza hiyo 1litre per 9kms ni kwa safari ndefu labda (Highway Driving) ila kwa mizunguko ya town tu bana inabugia 1 litre per 5kms braza, piston 8 ila najua jamaa anajiweza
  11. Nkya pj

    Land cruiser v8

    Hakuna risk na ulaji wa mafuta ni kawaida kwa huyo mnyama Ishu hapo uwe na pesa ya service kwa wakati na uwe tayari kupambana na running cost zake
Back
Top Bottom