NA NDIYO MIKOA PIA YENYE UMASKINI NA MIUNDOMBINU MIBOVU KULIKO YOTE NCHINI. NI VYEMA MUWAKUMBUSHE NA HILO. MTAJI WA CCM NI KWENYE MIKOA YENYE MATATIZO YA ELIMU NA UCHUMI
Maskini wengi kwenye nchi hii ni wanachama lialia wa CCM. Kwa utafiti wangu mdogo, vijana, wazee, wote ambao ni wanachama kindakindaki wa upinzani hasa chadema wengi ni wapambanaji wa uchumi wao. Wengi wameshajenga akili kuwa ukiwa mpinzani nchi hii unakuwa km yatima hivyo usipopigana vita ya...
Jibu ni rahisi tu. Tafuta vyama vingine vya upinzani ambavyo vimebadilisha wenyeviti wao kifala bila kuchukua tahadhari ya athari za ccm juu yao kama vipo hai. Hebu imagine km mwenyekiti wa chadema angekuwa lipumba, jaribu kuwaza km mwenyekiti wa chadema angekuwa zitto, jaribu kuwaza km...
Mtoa mada umeandika kuhusu nguvu na uwezo wa Heche ambao kiuhalisia uko sawa km ulivyosema. Ila kuhusisha uwezo wake na kufa kwa chadema huo ni uongo. Toa takwimu zinazoonesha kuwa chadema inakufa au imekufa. Vinginevyo ni upigaji ramli chonganishi
Kama hujui kitu uliza huko nje then ukikosa majibu uliza kwa watu wenye akili timamu km humu. Kama hujafanya utafiti na umekimbiza humu unakuwa km nape nnauye tu. Kwa kadri ya uelewa wangu, jamii ya kikurya hu-share baadhi ya majina (kwa wanawake na wanaume). Hii huletwa na sbb nyingi za...
Ni mtu punguani pekee anaweza kuwaza haya. Jiulize machache kwenye mada yako alafu utajua upunguani ulipo. Magufuli alikufa kwa sbb gani, mbili, magufuli km aliuawa km mnavosema wengi, je samiah anahusika? Tatu. Hiyo chain ya kikwete una uhakika ipo na inafanya kazi CURRENTLY?, NNE, kama chain...
Una athari tatu zinakusumbua. Moja: elimu inayotolewa na CCM.( huu ni mkakati wa vyama visivyotaka kuachia dola, na vimevuna ng'ombe nyingi tu km wewe). mbili ni mazingira uliyokulia... Wengi mmetoka kujitawazia magunzi ya mahindi hivyo siasa mmezikuta WASHROOM ( siyo rahisi muelewe), tatu ni...
Lissu alishadhuriwa na serikali hii, tena akiwa ameshalalamika mara kadhaa kuhusu hatari ilivyokuwa ikimnyemelea, mwisho akashambuliwa. Akajitibu kwa garama zake na wasamalia wema akarudi Tanzania KUWAKUMBUSHA MBUMBUMBU KAMA WEWE kuwa Bado Tanzania ni kichaka cha wizi wa pesa za uma, ni kichaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.