Viongozi wa kiserikali hasa maspika,mawaziri,wabunge,madiwani,wenyeviti wa mitaa na vijiji,wafuasi wa serikali,wateule bungeni na wengine wote mnaofuata mikumbo isiyo na maana mtaipeleka nchi kwenye machafuko ya kidikteta.
Mimi kama mwananchi siko tayari kuvumilia uzembe wa serikali ya kutaka...