Jamani, mimi ni mwanafunzi nimehitimu chuo ila naufundi wa furniture nilikuwa nahitaj msaada wa mawazo jinsi gani unaweza pata tenda sehemu mbalimbali mana naona soko ni gum kiasi chake kupitia ABC na uzoefu naweza kuimprove.
Kaka angu amekuwa mgonjwa wa ulcers ya macho takribani miez 10 now, ametmuia dawa za kila aina hospital lakini tatizo limezid kuwa baya zaid macho yamepoteza kronea na sas hawez kuona tena na madaktar wameconfirm hivo.
Kuna alternative gani naweza solve tatizo la kaka msaada please kwa anaye jua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.