Recent content by nkongo

  1. N

    UKAWA mshawishini Makongoro Nyerere

    Msidharau maneno ya kambarage aliyosema kuwa upinzani wa kweli utatoka ccm.
  2. N

    UKAWA mshawishini Makongoro Nyerere

    Ili kuiondoa ccm madarakani mnapaswa kuimega ccm na ili muweze kufanya hilo mpeni nafasi ya urais makongoro .
  3. N

    Kwa hili ccm hatuwasamehi hata kidogo

    Ccm mmejifungia dodoma kufuta vipengele muhimu vya rasimu ya katiba nasema nyinyi ccm tutawaadhibu kama sio ninyi basi watoto wenu. mmefuta ibara ya maadili ya viongozi ili ufisadi uendelee,mmefuta ibara ya madaraka ya wananchi,mmefuta ibara inayotenganisha madaraka ya bunge na serikali.
  4. N

    CHADEMA tuachane na maandamano, sasa tufanye mikutano ya hadhara nchi nzima

    Maandamano ni kufikisha ujumbe duniani na kwa wafadhili wa budget kuwa hawa si binadamu wa kuongoza watu
  5. N

    Muslim Hassanali: CHADEMA hakina wanachama wenye sifa ya kuwavua madaraka Mbowe na Slaa

    Mzee Hassanali anaongeleo kwamba hawa watu wawili mboowe na slaa huwezi kuwapata kwa kuwa hawana bei.sifa nyingine ya kiongozi ni kutonunulika ,kuwa tayari kufa kwa kile unachokiamini.hawa wamefanikiwa kupita katika vizingiti hivyo. mfano mzuri tumeona kwa mrema na mapesa kwa sababu wanategemea...
  6. N

    CCM kwanini tunapata upinzani mkubwa kwenye Vyuo Vikuu?

    CCM mbona mnapenda sana kudanganya watu hasa wanachuo kuwa wanasomeshwa na serikali ya CCM. Hivi kweli CCM mnapesa ya kusomesha watu ,kujenga barabara nk? Danganyeni haohao mambumbumbu sio kizazi hiki cha leo.pesa yote inatokana na kodi za watanzania wote ,hawa ndio wanaosomesha watu wote...
  7. N

    GE2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

    Boreshini daftari na wekeni tume huru si ya ccm muone moto wake.
  8. N

    Matusi, ubaguzi wa AG Werema kwa Wazanzibar, kiburi cha Spika Makinda, wabunge watoka nje

    Tumia kichwa kufikiri kama sio werema angeomba msamaha wa nini kwa bunge nzima,wananchi wote na mh.mnyaa
  9. N

    Maaskofu 32 Katoliki wataka Tume ya Warioba iheshimiwe

    Ccm wameshikwa pabaya!
  10. N

    Mikakati Mahsusi uchaguzi mkuu 2015.Upinzani watch out.

    Asante kwa taarifa na mwaka 2015 tutaona mengi maana yule gaidi amepewa hazina yetu.
  11. N

    Ushauri kwa walioko madarakani

    Tumefurahi sana watoto wa mitaani kubeba kombe la dunia kule brazil.lakini wanananchi na watawala wetu wamejifunza nini ktk hili. sisi tunafurahi lakini dunia nyingine wanatushangaa kwa kutelekeza watoto mitaani ambao wako footballers,doctors nk. watawala wetu wanafundishwa how they should...
  12. N

    Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

    acha uongo bk 7 yaani wewe na spika nani alikuwa anashuhudia live?.spika alimwabia lisu afute maneno hayo kwa kuwa yanawakera wabunge wenzake.sasa maneno haya mnageuzia kwa waasisi kutaka huruma ya wananchi. juu hili ccm hamna hoja waacheni wananchi waamue.
  13. N

    Maprofesa mnaosimamia taalum yenu

    Tumeona wataalamu wa kiwango cha uprofesa wanavyo jivika ujinga kwa kutosimamia taaluma yao,mfano shivji. hivi profesa anaweza kuongea kwa kukiuka alichokisema au kuandika ktk vitabu vyao au majarida . Tuwaombe maprofesa waadilifu muanze kuwapinga waziwazi hawa maprofesa tumbo ili taaluma hii...
  14. N

    David Kafulila,na Serikali Tatu

    Nimemkubali mh.ni jembe wanafiki na wenye akili za kuazima wanaumbuka
  15. N

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Alhamisi, Tarehe 10 Aprili, 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    Kaponda kuwa wabunge wako 629 ,yaani maoni yao yawe halali kuliko maoni iliyotumia tume ya warioba ya watu 17,000 waliotaka serikali tatu. Hivi vichekesho sana. ofisi ya rais,ofisi ya makamu rais ,ofisi ya waziri mkuu walitoa maoni ya serikali tatu ,bungeni wako tofauti. hivi kwa kuwa vigeugeu...
Back
Top Bottom