🤜🤜 katiba aliyeitunga alikuwa mtu asiye mzalendo. Haya mambo tunayopitia marekani imeyapitia miaka 80 iliyopita.
Wana harakati ndo uwa wanasababisha hayo yatokee. Sasa wasanii wa Tz wanamuimbia zuena mpaka leo 😥😥😂😂😂
Tanzania bado ni nchi maskini ambao bado tunajitafuta. Na kuna upungufubwa ajira kwa kiasi kikubwa sanaa, hii inatokana kwa sababu serikali bado hawajawa serious katika hili. Nimeandika story of change
Lakini nataka leo nitolee namna ambavyo kuna watu wamesoma civil engineering ngazi ya...
Kodi za Tanzania ni kama kuteka maji kwenye tenga
Unakusanya kodi vizuri tu, mwisho wa siku ripot ya CAG inasema tenga linavuja. Bora kufunga koki tusubiri mkingaji aweke ndoo
Viajana wengi wana mawazo ya CCM iwasaidie sio wao waisaidie CCM, ndio maana unakuta wanajiunga wengi na akibaatika kupata nafasi atapiga hela, yaani hata ngazi za chini wanaiba hata hela ya kadi.
Anawaza kuwa nikimaliza nitaajiriwa au connection ya ajira nitaipata kupitia chama. Hana mchango...
Unakuta kuna uhaba wa ajira sekta fulani mfano uhandisi, ualimi, udaktari na sekta mbali mbali.
Lakini kuna watu wengi ambao wapo katika hizo fani na wengine wanafanya kazi ambazo hata haziwapi uzoefu au kuongeza maarifa kwa walichosomea/ taaluma yao. Kwa sababu mbali mbali moja wapo ikiwemo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.