Juzi tulipata wageni kutoka China walikuja kutembea nchini kwetu na kusherehekea mwaka mpya. Katuka watu waliokuwemo kwenye msafara wa kuwaongoza namimi nilikuwemo kwakuwa najua kichina kidogo. Leo tukiwa maeneo ya sunrise nilipata kituko kimoja cha kufungua mwaka.Wakati tuko njiani kuelekea...
Kulikuwa na mzee mmoja ambaye ilikuwa kila akipiga simu anaambiwa kuwa namba unayopiga haipatikani siku moja akaamua kwenda makao makuu na kukutana na muhudumu ikawa hivi
Mzee"Samahani mjukuu wangu"
muhudumu "Bila samahani Mzee unasemaje
mzee"Kuana kuna dada mmoja katika mtandao wenu...
Hata kule kwetu kibaha kulikuwa na mzee mmoja amabaye alikuwa na watoto ambao ukuunganisha majina yao una pata kitu kifuatacho CHUKU YENU YANINI NIUENI SIAMI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.