Recent content by njox

  1. N

    Kutoka viwanja vya Sinoni-Arusha: Mkutano wa Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa - Okt 8, 2015

    Ndugu makamanda wapenda mabadiliko, mkutano wa mgombea wa CHADEMA ndugu Edward Ngoyai Lowasa kupitia UKAWA katika jiji la ARUSHA siku ya leo utakua LIVE kupitia kituo cha habari cha ITV kuanzia saa 4:00 ya jiioni. Pia ndugu KINGUNGE NGOMALE MWILU atakuepo pia. kaa mkao wa kula.
  2. N

    UKAWA wazuiwa kufanya mkutano Jangwani na Uwanja wa Taifa

    MKURUGENZI wa Manispaa ya Ilala, Claud Mpelembwa amezuia mkutano wa uzinduzi wa Kampeni za Urais, mgombea wa Chadema, Edward Lowassa kufanyika katika viwanja vya Jangwani kwa madai ya uwanja huo kuwa na matumizi mengine. Anaandika Sarafina Lidwino … (endelea). Pamoja na kuwepo kwa barua hiyo...
  3. N

    Uhakiki wa kitambulisho cha kupiga kura kupitia mitandao ni sahihi?

    Jamani mimi mwenzenu leo nimechanganyikiwa baada ya kuhakiki taarifa zangu kupitia mtandao na kuambiwa Samahani,Haujajiandikisha katika Daftari la Kudumu la wapiga kura, sasa nashindwa kuelewa kama nikweli au laa. naombeni msaada wenu kwa kunijulisha kama ni kweli au laa.
  4. N

    Hatimae julius mtatiro achukua form ya kuwania ubunge kwa tiketi ya ukawa kupitia cuf

    Ni li saa limoja tu limepita tangu apewe barua na chama chake cha CUF ya kupewa lidhaha ya kuchukua form ya kuwania ubumge jimbo la SEGEREA kwa tiketi ya UKAWA kupitia CUF. Tulianza na mungu tupo na mungu na tuta maliza na mungu
  5. N

    Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    sijawai ona mtanzania mjinga kama wewe. kichwa chako kima jaa madudu tu.:A S-confused1:
  6. N

    Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    Sijawai ona prof mpuuzi na asie kua mpenda maendeleo kama lipumba.
  7. N

    Vyombo vya Habari na Habari ya Prof. Lipumba kujiuzulu Uenyekiti CUF

    Mkuu kwani hadi leo unaangalia TBC?
  8. N

    GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    Rushwa na vitisho vili tawala katika kampeni za kumpata mgombea atakae peperusha bendera ya ccm jimbo la ukonga na hatimaye jerry slaa kubuka kidedea kwa ngazi ya ubunge na Rucas kwa ngazi ya udiwani. hata hivyo imekua furaha kwa chadema wanao amini jery ni mtelemko kama ilivyo ada kwa kuburuzwa...
  9. N

    Dr. Slaa: Uongo ni dhambi na siko tayari kuishiriki!

    Ni zahili kabisa baadhi ya wana chadema wameshikwa na hofu juu ya DR. lakini niseme tu kua chadema haiongozwi na mtu mmoja bali na watu, maamuzi yote yanayo fanywa na chama au viongozi wa juu ni maamuzi sahihi kwa wakati huo. Niseme tu tuwe wapole katikaka hilo la DR. yatasemwa mengi sana kuhusu...
  10. N

    Lowassa ana bahati sana, sababu Magufuli hafai

    mtaisoma namba mwaka huu.
  11. N

    GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    kumetokea hali ya sinto fahamu huko tarime baada ya kukamatwa kwa kura zaidi ya elfu 20000 zilizo onyesha jina la nyangwine, ni matumaini yangu kua ccm inaelekea kudondoka katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu kutoka na kutojiamini na wanachama wao. Ni jambo lakushangaza katika jamii kwa watia nia...
  12. N

    Huu ndiyo ukweli kuhusu Dr. Slaa

    Nenda makao makuu ya chama ili upate maelezo yatakayo kulidhisha.
  13. N

    Sababu sita kwanini kura yako uipe CCM na si CHADEMA

    Huna jipya na huna fikra pevu.
  14. N

    Sababu sita kwanini kura yako uipe CCM na si CHADEMA

    Mugisher Hii nchi ikiwa na watu kadhaa wasio jielewa kama wewe hakuna kitakacho badilika, yani umeongea upuuzi mtupu hapo na sio kuonyesha ni jinsi kani ccm imeweza kutatua kero za wananchi. Badilika mjinga wewe.
Back
Top Bottom