Wana JF. Hii thread ni ya muda kidogo. Lakini kunq msemo wa "Old is Gold"
Naomba kufahamu iwapo mhusika alipata suluhusho la changamoto iliyokua ikimpata mwanae. Mimi pia nina mwanangu wa umri wa mwaka mmoja. Amekua akipata homa mara kwa mara inayoambatana na dalili za kikohozi, na unakuta ni...
Wana JF habari ya wakati huu.
Nahitaji kununua bitumen carpet zile ambazo huchomelewa sehemu ambazo zinaweza vujisha maji hasa zege la floor slab. Naweza kupata wapi hiyo bidhaa kwa anayeuza kwa kipima (mfano kwa m) kwa hapa Mwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.