Ni jambo la kuchekesha kidogo na kushangaza ingawa ndiyo kiongozi amesema..Hofu yangu ni kwamba hivi hili agizo limeandaliwa mazingira gani..?!Maana watu wanamatatizo mbalimbali na binadamu hatulingani wakati tunapokuwa safarini..kuna wengine wanamatatizo ya kisukari hivyo kubanwa haja ndogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.