Ewe mtanzania mwenzangu kati ya wagombea wawili wenye ushawishi Mzee mwenyewe Magufuli na mzee wa Mamnvi ila Magufuli anafaa 100% kwanza ana afya nzuri kwa kuthibitisha hilo amezunguka tangu kampeni zimeanza ila mzee wa mamnvi upepo unakatakata sana,pili kuna viongozi wengi waliopo ccm...
Waungwana hamjambo,Mimi ni mtanzania wa kawaida ila nikijaribu kuangalia siasa zetu naona mbona vyama vya upinzani nchini vinavizia CCM waanze mambo ndio wao waje kupitia kwenye madhaifu au kukosoa najiuliza wakipewa nchi watakua wamejiandaa kutuongoza au wana sera makini za kuongoza au misingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.