.
Huu ni uzushi mtupu tena wa kijinga wewe ndiyo kiazi mkubwa...ungepeleka huu Uzi wako jukwaa la tetesi...sisi wana Shinyanga hatujaona hilo wewe mkenya unaleta mambo yasiyokuhusu....katika miradi yote hakuna zahanati iliyofunguliwa sijui wewe umeyatoa wapi hayo.
Woga wakubwa nyie... Hamkujua kuwa Siku zote nguvu ya umma haishindani na nguvu ya serikali .. Mmejitathimini na kuona hayo sasa hivi baada ya kuona kuwa mmeshindwa kuwadanganya watanzania...nendeni wenyewe muone!
Amani ya nchi yoyote hulindwa kwa gharama yoyote. Mnatusababishia matumizi ya lazima kupambana na nyie wakati fedha hizo zingetymika kuboresha huduma za Jamii ...
Waoga wakubwa Hawa...wanatishia ili kupima upepo..waingie tu barabarani ili wasaidie kufanya usafiri na makamanda wetu...kwani nao si hujiita makamanda?
Mbowe ni jipu ndani ya CDM ila nyie sijui mmelogwa na nani...bila aibu unaandika kiongozi mkuu was upinzani...eti vyombo vya ndani na nje...amewauza na nyie bado mpo tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.