Recent content by niyonzima55

  1. N

    Hoja ya Jaji Mstaafu Warioba kuhusu vifo vya Oktoba 29 ni uongo na uchochezi wa kisiasa

    Kwan kwenye speech yake kuna mahali kasema rais samia atoke? Anachosema ni serikali kuwawajibisha waliohusikq na mauaji hayo? Au nilimsikia vibaya
  2. N

    Mzee warioba mpaka sasa anaona ilikuwa sawa kwa watu kuivamia nchi nzima kuharibu mali za umma na watu binafsi bila idadi wala ukomo

    Hajasema ilkua ni sawa watu kuharibu mali, alisema serikali ichukue responsibility kwa yaliyotokea kwamba wamechangia kwa kiasi kikubwa . Lakini pia kuna njia za kudisperse watu sio kuua. Ndo maana aliuliza kwamba vyombo vya dola vilijipamga kwa risasi tu? Hakuna njia nyingine zilizokuepo?
  3. N

    Barua kwa John Pombe Magufuli

    Hajifichi qnachojaribu kusema n kwamba chanzo ni utawala huo ndo maana tuko hapa.leo
Back
Top Bottom