Recent content by NITUME NIKUTUMIKIE

  1. N

    Wakuu naomba ushauri: Hii laki nane niliyonayo mfukoni nifanye biashara gani ili niweze kuizalisha?

    Ndiyo mkuu Kipindi Nipo Moro nilikua nanunua viatu vya kike dar natembeza kitaa Sasa saivi kwa huku Dom napaona mbali mno
  2. N

    Wakuu naomba ushauri: Hii laki nane niliyonayo mfukoni nifanye biashara gani ili niweze kuizalisha?

    Mimi NIPO Area A mkuu mtumba napajua nipe muongozo kuna biashara gani mkuu
  3. N

    Nina millioni 1 na laki 3 nifanye biashara gani?

    MKUU HAYA mashuka ni mtumba au special
  4. N

    Wakuu naomba ushauri: Hii laki nane niliyonayo mfukoni nifanye biashara gani ili niweze kuizalisha?

    Nina Tsh. 800,000 kama akiba imekaa tu, kodi ya pango ninapoishi nimelipa, chakula ndani nimenunua sasa wakuu nimebaki na hii Tsh. 800,000 nahitaji kuizalisha nifanye nini kwa hiki kidogo nilicho nacho? Location Dodoma: Nasoma comments naheshimu sana ushauri wenu wakuu.
Back
Top Bottom