Recent content by Nipenguvu

  1. N

    Kumekuwa na hadithi na simulizi nyingi nzuri. Lakini hii inaweza ikawa nzuri zaidi. Inaitwa ULIMWENGU WA MATAJIRI

    Ile hadithi yetu inaendelea..... Walifanya hivyo huku wakiwa wamekumbatiana na baada muda kidogo wanakijiji nao walifika mahali hapo na kukuta kila kitu kimeshamalizika, walichoamua kukifanya waliwachukua mama na baba yule na kisha kuwapeleka mpaka kwa chifu ili kupata hukumu yao...
  2. N

    Kumekuwa na hadithi na simulizi nyingi nzuri. Lakini hii inaweza ikawa nzuri zaidi. Inaitwa ULIMWENGU WA MATAJIRI

    Itaendelea mkuu. Kama kuna wadau wanaopenda hadithi wajulishe tu, waanze kujongea.
  3. N

    Kumekuwa na hadithi na simulizi nyingi nzuri. Lakini hii inaweza ikawa nzuri zaidi. Inaitwa ULIMWENGU WA MATAJIRI

    Mfalme Suleman pia anausika. Riwaya hii ni nzuri mwanzo mwisho.
  4. N

    Kumekuwa na hadithi na simulizi nyingi nzuri. Lakini hii inaweza ikawa nzuri zaidi. Inaitwa ULIMWENGU WA MATAJIRI

    Email. nipenguvu@gmail.com Instagram. nipenguvu “Ee bwana wangu! Nisahidie mimi mja wako”. Ilisikika sauti ya hofu kutoka kwa mama mmoja akiwa kanisani huku akiwa anatetemeka.Siku hiyo ilikuwa siku ya jumapili katika kanisa moja lililopo kijijini, pembezoni kabisa mwa mji uliozungukwa na...
Back
Top Bottom