Recent content by ninjajr

  1. ninjajr

    Ushauri wa kufungua kampuni ya transportation and logistics

    Salaam JF. Nimekuja hapa nikiwa na imani ya kuwa jf ni uwanja mpana uliosheheni watu wenye ujuzi tofauti. Nimeanzisha huu uzi kwa malengo ya kupeana elimu na uzoefu katika masuala mazima ya kumiliki pamoja na uendeshaji kupitia kampuni inayohusia na Transportation and logistics. Nakarabisha...
  2. ninjajr

    Ukisikia kujilipua ndio huku. Milioni 60 hisa za CRDB, liwalo na liwe

    Mkuu unaweza elezea kwa ufupi kuhusu UTT AMIS
  3. ninjajr

    Ni changamoto gani unaweza kutana nayo iwapo hutaripoti kwenye kituo cha kazi ulichopangiwa na TAMISEMI?

    Na hii likizo maximum ni muda gan? Na labda kama kuna probability yyt ya kukataliwa au kukubaliwa?
  4. ninjajr

    Ni changamoto gani unaweza kutana nayo iwapo hutaripoti kwenye kituo cha kazi ulichopangiwa na TAMISEMI?

    Nashukuru mkuu nimeisoma nimekutan na hicho kipengele kinachoelezea athari za kutokuripoti bila sababu ya msingi.
  5. ninjajr

    Ni changamoto gani unaweza kutana nayo iwapo hutaripoti kwenye kituo cha kazi ulichopangiwa na TAMISEMI?

    Kwenda nje ya nchi haimaanishi maisha yanakuwa yamekunyookea, nikirudi utanipa hela ya mboga na kodi.
Back
Top Bottom