Ndugu zangu siasa zisifanye tufike mahali pa kutoona hata mambo mema. Kama kuna mtu hataona wema katika ununuzi wa ndege hizi hakika hata mawe yatapaaza sauti. Bravo JPM.
Nahis ulifaidika na zile hela za Zitto mlizokuwa mnatumiwa kwa MPESA na TIGO PESA ndo maana una hasira sana kwa kuumbuliwa. Kwenye intelijensia hayo mambo wakati mwingine ni lazima hata hao Wamarekani ambao kila siku mwenyekiti wenu Jakaya Kiwete anaenda kwao wanafanya udukuzi wa simu za watuuuu
Nyie ccm mbona mumemuweka Mwigulu Nchemba Hazina ili akaibe hela za kampeni? Mbona mmemuua Mgimwa baada ya kuwanyima fedha?
Hela za wanainchi zimetumika kuwapa wanainchi elimu
Obasanjo's letter to Jonathan : BEFORE IT IS TOO LATE
23 Dec 2013
Font Size: a / A
Olusegun Obasanjo Obasanjo's 18-page letter entitled "Before it is too late", dated December 2, 2013.
BEFORE IT IS TOO LATE
I am constrained to make this an open letter to you for a number of reasons...
Mahakama zinazoongozwa na majaji tulioambiwa wengi hawakuwa na sifa, waliochaguliwa na mwenyekiti WA CCM, wanasikiliza shauri la kibaraka wa CCM dhihi ya chama na wakili mwiba kwa CCM unategemeea jaji atatoa uamuzi gani?
Mahakama zinazoongozwa na majaji tulioambiwa wengi hawakuwa na sifa, waliochaguliwa na mwenyekiti WA CCM, wanasikiliza shauri la kibaraka wa CCM dhihi ya chama na wakili mwiba kwa CCM unategemeea maji ataamua nini?
Jamani Nape .. Tangu lini haramu ikawa halali kwa sababu imefanywa mara nyingi sana na watu wengi sana?
Anyway tusikulaumu sana vyeo vyenyewe mnapewa kwa hisani na heshima za wazee wenu sasa unafikiri weledi katika vyeo husika itatoka wapi?
Sintoshangaa na Ninayo ndoto kuwa katibu mwenezi wa...
Hoja Hazina nguvu na unamlaumu KIKWETE bila mantiki
1.Kwani ukipeleka ombi mtu akikwambia anashughulikia then baada ya kushughulikiwa akakwambia jibu ni NO atakuwa amekosea?(kushughulikia haimaanishi ni YES)
2. kwanza sio watanzania wa nje maana kama wanataka uraia pacha that means wana uraia...
Mie naona katika hili Shivji hayuko objective,kwanza anaonyesha kuwa ana hofu ya serikali 3, lakini pia anajikanganya anaposema muungano usiangaliwe kwa kigezo cha idadi ya serikali papo hapo anasema alipoombwa kutoa ushauri kwenye Baraza la Wawakilishi alipendekeza muundo wa serikali 2.
Hoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.