Recent content by nimwindael

  1. nimwindael

    JamiiForums Tanzania Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa Kanisa Katoliki?

    Hakuna kitabu kwenye bibilia kimeandikwa maria alipaizwa.na mafundisho ya katoliki yanasema alikufa lakini mwili wake ulipotea kwabla ya maazishi.kwenyebibilia watu wawil tu ndio walio paizwa wakiwa hai ni enoko na eliya tu.
  2. nimwindael

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Rafiki yangu amekataliwa kwa mama mkwe

    Story yako imenikumbusha 2014nilipelekwa kutambulishwa mama mkwe akanikataa kisa namichiriz ya mikono na kijana wake akashikilia mama alichosema tukaachana. nililia nilijilaumu nilipaka madawa ya kutoa michiriz lakin mwisho wa yote nilikumbuka furaha yangu ipo kwa Mungu kwa wakati wake atanipa...
  3. nimwindael

    JamiiForums Tanzania Mume wangu kabadilika tabia sana niliposhika ujauzito

    Sijawahi mpa sababu ya kuhisi kama mtoto si wake na nikimuuliza kama nimemkosea anasema hapana
  4. nimwindael

    JamiiForums Tanzania Mume wangu kabadilika tabia sana niliposhika ujauzito

    Yani kwenye papuchi ndio hana muda kabisa anasema hana hisia
  5. nimwindael

    JamiiForums Tanzania Mume wangu kabadilika tabia sana niliposhika ujauzito

    Heshima kwenu wakuu Nina ujauzito wiki 23 na niujauzito wa kwanza,toka nimeshika ujauzito mume wangu amebadilika sana amekua na hasira na kisirani kupita kiasi,hapendi kuoga anaweza kaa siku tatu mpaka nimseme sana ndio anaoga,hatushirikiani tena kama mwanzo nikijaribu kuongea nae anakasirika...
  6. nimwindael

    JamiiForums Tanzania Msaada: Naomba kujuzwa wapi naweza pata kifaa cha kukatia chips

    Bandugu naomba mnosaidie kwa Dar naweza pata wapi kifaa cha kukatia chips na bei yake kabisa kama ikiwezekana. Natanguliza shukrani
Back
Top Bottom