Bado una uwezo wa kunyambua bei kufuata kg kwa kuwa lazima ufahamu umetumia gharama kiasi gani kwa kg na hiyo ndio inayokupelekea kupata bei ya hiyo parking
Pesa na Dhahabu ni mali ya BW ( Mungu )
Unaweza kufanya kazi ya mamilioni bado usifanikiwe na ukafanya kazi ya mamia na Mungu akakubariki. Kipaji alichonacho huyu jamii ni Mungu kampa ili akitumie kwa sifa na utukufu wake. Afanye kazi kwa bei atakayoona inambariki na isiwe kwa tamaa. Samahani...
Inapendeza ila hujakamilisha tangazo lako: mfano => huo ujazo ni wa namna gani ( kg )ngapi, bei gani, umetumia mafuta gani kuwakaanga na wamekaangwa baada ya kuvuliwa au walikaushwa kwanza?
Habari yako ndugu, hao kuku wana uzito wa kg ngapi kwa kuku? Weka picha pia kama inawezekana!
Mayai kwa ajili ya kutotolesha unayo na unauzaje kwa tray?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.