Bwana wewe usisahau hao wanawake ni Mama zako,ni Dada zako,ni mkeo, ni mwanao sasa ebu kwanza chuja au ongea lililo kutokea ili tukusaidie japo mawazo.
Lol una tafuta stress isokua ya lazima, ivi huyo kijana mdogo hasa mnaongea nini cha mana? mwenyezi mungu asinijaalie hata kwenye ndoto
wasinijie hawa waramba midomo, tulia tuu na mzee mwenzio lol mbona 40yrs sio uzee hapo ndio unaweza kujifaragua na age mate wako.
Ivi wakati ule una zini hukujisikia vibaya wakati umesema hamkua na migogoro kama unavyosema,au uliamua tuu kutaka kuonja,pole ila result yake sio nzuri sana muombe sana mwenyezi mungu ampe mkeo subra na uwezo wa kuhimili kwani sio rahisi kujua hilo hasa mtu akiwa ana
kuamini anakuheshimu.
Mbona unataka kumvunjia rizki mtoto wa mwenzio? hiyo ni kazi kama kazi nyengine,tabia ya mtu na malezi ndio ulitakiwa ujue zaidi kazi yake haiusiani na tabia yake.
Mkuu nikuulize tafadhali, baada ya yoooote hayo bado unadhani una mtoto hapo? au kwani huna uwezo wakupata wengine?
Mwanake asiku stress kwa mtoto kama alitaka mbegu umeshampa umejitahidi kujisogeza amegoma kwa sababu anazozijua yeye,kwa ufupi umejitahidi songe mbele mkuu yeye ata ji sort.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.