Recent content by Nilijara2

  1. N

    Nataka kusoma BSc. in Land Management and Valuation

    Naomba mnielekeze pia kama ina mahesabu mengi na ajira kama zinapatikana
  2. N

    Naenda chuo mwaka huu

    Hivi nyie manaosema niache kusoma kisa nimekosea kuandika ninani Kati yenu hajawahi kukosea kuandika au hata kuchapia kweny kuongea sikieni nakubali uandishi wangu so mzuri sawa Haina shida Ila naona madam imebadilika badala nijibiwe swali nililo uliza Sasa naanza kuambiwa niache shule, we Kama...
  3. N

    Naenda chuo mwaka huu

    Sawa nimekuelewa broo haina shida asnte kwa ushuri wako na asnte kwakujua kuaelimu haipo upande wangu mtabili wangu
  4. N

    Naenda chuo mwaka huu

    Alie kwambia sijui kuandika nakusoma nan hv ww hujawah kukosea kuandika kweny cm emu acha maswala yko
  5. N

    Naenda chuo mwaka huu

    Sikia nikwambie nimeuliza tu sawa huenda nikanilikosea kweny kuandika ama laa ila jaribu kua na ushuri wamaana kama umeshindwa we pita tu sio kuaza kushauli ujinga alf nikisha acha shule we utafaidika na nn kama ww uliacha kwa sababu ya kuandika ni peke yako sawa jamaa
  6. N

    Naenda chuo mwaka huu

    Samahani Jamani naomba kuuliza eti insurance and list management inapatikana kwenye kozi gani kwa ngazi ya bachelor in degree?
  7. N

    Msaada Mtoto wa Miezi Sita Anapata Shida Kupumua Usiku na Uzito Kutoongezeka

    Nimeshapata mrejesho mwanangu ana vinyama vya pua
Back
Top Bottom