Hivi nyie manaosema niache kusoma kisa nimekosea kuandika ninani Kati yenu hajawahi kukosea kuandika au hata kuchapia kweny kuongea sikieni nakubali uandishi wangu so mzuri sawa Haina shida Ila naona madam imebadilika badala nijibiwe swali nililo uliza Sasa naanza kuambiwa niache shule, we Kama...
Sikia nikwambie nimeuliza tu sawa huenda nikanilikosea kweny kuandika ama laa ila jaribu kua na ushuri wamaana kama umeshindwa we pita tu sio kuaza kushauli ujinga alf nikisha acha shule we utafaidika na nn kama ww uliacha kwa sababu ya kuandika ni peke yako sawa jamaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.