Recent content by Niko Banane

  1. N

    Paypal Tanzania

    Jaribu kucheki kwenye app ya dingtone kama wanayo. Ila kama unafanya biashara seriously ni very risk kwa pesa zangu.
  2. N

    Paypal Tanzania

    Hapo documents zako unatakiwa kuwa na passport ya kusafiria au Nida ID, proof of address (bank statement, bill za maji zinazosoma jina lako) Mimi nitakufanyia haya yoote yaliobaki. 1. Kusajiri kampuni UK 2. Kupata address UK 3. Kupata Uk phone number 4. Kupata WISE business account Hayo yoote...
  3. N

    Paypal Tanzania

    Tofauti na hapo inaweza kutokea tatizo la verification ukashindwa uanzie wapi, maana mimi wakati najaribu baadhi ya njia hizo nilifanikiwa nikapiga kama 3 week waka detect na kuomba documents Nikatuma documents za tz wakagoma na account ilikuwa na $189 zikaenda na maji. But juzi kati stripe...
  4. N

    Paypal Tanzania

    Issue ya paypal tanzania inabidi uwe makini saana kama unafanya seriously business, maana unaweza kutumia janja janja mwisho wa siku ukapigwa pin na kibunda chako. Nilifanya utafiti kwa zaidi ya miezi 6, kuhusu paypal, nilijaribu kila njia ambayo niliambiwa. Lakini niliambulia 0, nilichofanya...
  5. N

    Natafuta kazi yoyote ile halali

    Habari zenu wan JF, Mimi in kijana mwenye umli wa miaka 23, mkazi wa jiji LA dar es salaam, nimehitimu nimehitimu kidato cha nne mwaka 2016. Na nimesoma cozi ya computer maintenance and repair chuo cha dar es salaam institute of technology. DIT. Na Nina ujuzi mkubwa wa computer . Nipo tayali...
Back
Top Bottom