Samahani jaman naomba msaada wenu....mdogo wangu amefanya application kweny coz ya clinical medicine lakini haja chaguliw je anaweza katuma maombi vyuo vya private (japo kuw application umefungiwa)je atapata nafasi kweny coz hiyo?na je vyuo hivyo ni vipi??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.