Binadamu bila siasa huwezi kuishi, Siasa hujenga barabara, mahospitali, mashule, HUnunua Ndege n.k Humu ndani tunapashana habari tu ni bora tusemezane maana watanzania tumezoea kulalamika badala ya kuchukua hatua tutashtukia dreamliner inaendeshwa na wakikuyu, wakamba, karenjini, maana majirani...