ok kuna tatizo hapo mkuu mimi nilikua nalo pia lakin baada ya kuwasiliana nao kupitia namba zao za huduma kwa wateja hilo tatizo walilimaliza then nikafanikiwa kudownloa na kuprint.so ushauri wangu wasiliana nao kupitia namba walizozitoa kwenye website kwenye ALIS tatizo litakwisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.