Recent content by NICK WA 16

  1. N

    First Class

    thank you great thinker!
  2. N

    Wale wa udom

    ok kuna tatizo hapo mkuu mimi nilikua nalo pia lakin baada ya kuwasiliana nao kupitia namba zao za huduma kwa wateja hilo tatizo walilimaliza then nikafanikiwa kudownloa na kuprint.so ushauri wangu wasiliana nao kupitia namba walizozitoa kwenye website kwenye ALIS tatizo litakwisha.
  3. N

    Umesoma shule ya boarding(bweni) wewe?

    milambooo sec!! Bila shaka
  4. N

    Umesoma shule ya boarding(bweni) wewe?

    daah nakumbuka mbal sana walambo tulikua viraka siku wagelozia wakizingua tunakamatia warembo wa kazima bila utataaaaa!!.
  5. N

    Kuna tofauti gani

    Hizi coz zina utofauti gani wadau barchelor of science with education na barchelor of science in education,coz huwa sizielewi.
  6. N

    Mzumbe univercity

    msaada wana jf naomba mnijuze kwa anayefaham deadline ya admission katika chuo hiki.
  7. N

    Transfer to another univercity

    Hii ikoje wakuu natafuta link hiyo sipati nataka kuchek possibiliy ya kuhama chuo?
  8. N

    Wale wa Milambo High School njoo hapa

    our slogan ''walambo ni wamojaaa.''
  9. N

    haya wale wa udom tarehe ya kuripoti ni hii

    ok nimeshaona shukran xanaa kwa hii news!!.
  10. N

    haya wale wa udom tarehe ya kuripoti ni hii

    mbona nimechek kwenye website yao cjaona hiyo info mkuu?
  11. N

    Political Science and Public Adminstration vs Education

    nenda education kaka ukipata pakujistr utaendelea na mambo mengine.
  12. N

    Naombeni mniangalizie hili jina nacte

    ukitizama inaonesha hakuna record yoyote yan hajachaguliwa chuo chochote mkuu.
Back
Top Bottom