Itategemea na hospitali ila nikati ya 30 mpaka 50 elf , na kuna utaratibu unapewa usikutane Na mwanamke siku tano kabla yakutoa hizo mbegu Na kuna mda tunakupatia sex toy
Sasa mpaka hapo unaweza mwenyewe tu ukajisomea sasa sio tena nianze kufundisha basic science kabisa hapa Hapana elewa hivyo Kama unadout get your book read
Mtoto huyo anapamdikizwa kwa kumuwekea mwanamke mwingine ambaye anakuwa amejitolea kufanya hivyo lakin baada yakujigungua hatumruhusu kumpa mtoto huyo mwanamke aliyebeba hiyo mimba na hata kumuona mtoto hatumruhusu
Kwa mwanamke ambaye anashindwa kupata ujauzito na amepimwa ultrasound akaonekana yuko salama apime vipimo vifuatavyo
1. prolactin hormone
2. thyroid stimulating hormone (T4)
3. sukari
4. HSG
5. Sperm analysis mumewe
Kwa mwanamke anayeshindwa kupata ujauzito moja ya sababu zinazopelekea...
Kama nimwanamke na unapata siku zako vizuri lakini haushiki mimba na umefanya ultrasound ikasema uko vizuri . Kapime vipimo vifuatavyo
1. Prolactin hormone
2.thyroid hormone(T4)
3.sukari
4. HSG
5. Sperm analysis
Ndio vipimo pekee kwa mama anayetafuta mtoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.