heshima kwenu, natafuta frame/mlango wa kukodi. Eneo la mjini dar es salaam. Ikiwa ni posta, akiba, mnazi mmoja, samora na kwingineko. Kwa ufupi sehemu ya mjini yenye movement, niko tayari kupangisha kwa kodi isiyozidi laki sita, ila kama nitapata eneo lenye kuridhisha zaidi naweza kuongeza...