Wale ni wazazi wako vile vile usiwe mbinafsi kaka.
Kama uwezo upo usinunue gari ya million 100 wkati wakwe zako wanaganga njaa.
Mimi natoa sababu ya uwezo halafu pili mke wangu amenisapoti Sana kipindi sina hela sioni sababu ya kuwa mbinafsi kwa wazazi wake
Mama 200k na kumchangia kadi za harusi.Maza anapata vile vile support kwa wanae wengine hivyo kuingiza 800k kwa mwezi ni kawaida sana
Baba hayupo
Again hayo ni maisha yangu sasa hivi yakipanda napanda nao yakishuka nashuka nao
Kwa ujinga na ulimbukeni wa asili wa mwanamke hapo ndo ushampoteza ukikubali
Hlf sio kwamba anaku heshimu sana huyo demu
Mimi mke wangu ashawahi kuwa miss mkoa flani na keshawahi fanya modelling kipindi flani kwenye maisha .
Alipata kazi ya ku promote products ambazo zinauzwa casino tu...
Wewe utakuwa bikra wewe
Na wala huwajui wanaume
Mwanaume hanaga upuuzi wa kupenda kweli hasa km unadate mwanaume kamili.
Biblia haikukosea kumpa amri mwanaume ya mpende mkeo.Hamna kitu kigumu km mwanaume kupenda bila conditions hasa km unazungumzia mwanaume aliyekamilika kila idara.
Upendo...
Wewe tusingewezana
Kwa mfano mimi nikitoka kazini nahitaji km 30dk za kutokuongea ongea na mtu yeyote hata na mke wangu.
Kuna mda nahitaji kukaa mwenyewe tu bila kuongeleshwa.
Sina sababu ila nipo off mood na sijisikii kuongea ongea
Mwanzo wife alidhani namuigizia ila nilivyomuoa akagundua...
200k-300k kwa mwezi
Unga,mafuta,Gas,mchele juu yangu
Ila kuna kipindi wakati namuoa sikuwa na uweZo huo hivyo nilikuwa natoa 150k na siongezi hata sh kumi plus unga,mchele,mafuta na gas.
Mpe mkeo mahitaji kulingana na uchumi wako unavyokwenda.
Awali ma mkwe nilikuwa nampa 50k na ba mkwe...
Halafu kun mtu anashauri watu waoe tena anawalamizisha vijana kwa pupa
Mwingine anasema ukioa malaya ndo anatulia
Sasa huyu ukioa na anakumbuka historia yake yote hadi miboro ya wana na taste zake hahaha si itakuwa umepigwa na kitu kizito!!!!
Vijana kimbelembele cha kuoa acheni
Halafu kuna mtu anabisha umalaya sio asili ya mtu.
Yaani wewe ulikuwa hujawahi kulala na mwanaume lakini una kaumalaya kakurithi kwa wazazi either mama au baba.
Mungu akusaidie tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.