Recent content by Ni Mimi Msiogope

  1. N

    JamiiForums Tanzania Wakati wa mimi kusema umefika

    Watu mnamtukana Mama zenu na Dada zenu na wake zenu kwa kudhani kuwa Mnamtukana Deus F Mallya. Poleni sana
  2. N

    JamiiForums Tanzania Wakati wa mimi kusema umefika

    Mmepewa mamlaka hata ya kutoa laana kwa wenzenu? noma sana
  3. N

    JamiiForums Tanzania Wakati wa mimi kusema umefika

    Mbona mnakimbilia chaka jamaniiiii. Kusema ni kutumika? vitu viwili tofautiii
  4. N

    JamiiForums Tanzania Wakati wa mimi kusema umefika

    Hahahahahaaah Kwani umejua anachotaka kusema? Acheni kujistukia
  5. N

    JamiiForums Tanzania Wakati wa mimi kusema umefika

    Naona mapovu tuuuu. Shangilia atanyongwa soon sasa. Acha kelele
  6. N

    JamiiForums Tanzania Wakati wa mimi kusema umefika

    Mbona mnahangaika sana? Kwani mmeshajua anachotaka kusema?
  7. N

    JamiiForums Tanzania Wakati wa mimi kusema umefika

    Mnachochekesha ni kwamba hata hamjui anachotaka kusema lakini mmeanza kusema na athari zake
  8. N

    JamiiForums Tanzania Wakati wa mimi kusema umefika

    Hahahahaha....... Mbona umemaliza kabisa Mkuu duchi ???
  9. N

    JamiiForums Tanzania Wakati wa mimi kusema umefika

    Subiri kwani unaenda wapi? Mtahaha sana
  10. N

    JamiiForums Tanzania Wakati wa mimi kusema umefika

    Ndiyo maana amesema Wakati wa kusema umefika. Jambo lolote ni wakati tu. Muacheni aseme msimzibe mdomo. Kwa mnavyotokwa mapovu wenyewe naamini mnajua kuna jambo limefichika hapo. Hata hajasema anachotaka kusema naona mnaanza kumshambulia !!!!!!!!!!!!!!!
  11. N

    JamiiForums Tanzania Wakati wa mimi kusema umefika

    Inawezekana unajua anachotaka kusema?? Hahahaha. Mwaka wenu huu:flame:
  12. N

    JamiiForums Tanzania Wakati wa mimi kusema umefika

    Mbona unatokwa na povu sana??? Kwanini hamtaki aseme? mnaficha nini?
  13. N

    JamiiForums Tanzania Wakati wa mimi kusema umefika

    Nimesoma nimekuelewa Ndugu Mallya lakini ni lini utasema? pia kinachonitia mashaka ya unachotaka kusema ni kujitokeza kundi linalopinga wewe kusema. Hili kundi ni la nani? Liko chini ya nani? Wanataka unyamaze kwa faida za nani?
  14. N

    JamiiForums Tanzania GE2015 Mwigulu Nchemba: Huu Unyama Una baraka zote za Dr. Slaa na genge lake

    Hizo ndizo ahadi za CCM kwa wana Kalenga? Au sijui siasa vizur. Ngoja nirudi darasani
  15. N

    JamiiForums Tanzania Bungeni live: Ufafanuzi wa hoja za wajumbe kuhusiana na rasimu.

    Kamati imeogopa kujilipua sasa wamepeleka mabomu kwa Pandu A. Kificho. Wajumbe wapige kura ya siri kuamua kama wanataka kura ya siri au ya wazi.
Back
Top Bottom