Yaan cna amani kabisa mlale macho wadau yaan hapa wife kabandika maji ya kunyonyoa kuku natamani kumwambie Nina hamu na maharage nahisi kuku naweza kuwa mm
Hakika Ngoma ikivuma Sana inapasuka waswahili walinena, Leo ni siku mbaya sana ktk maisha yangu nahisi uwezo wangu wa kufikiri umefika mwisho.
Ishu ipo hivi jana nilikuwa na mchepuko wangu kwenye gari na unajua Tena wawili wakiwepo watatu wao huwa ni shetani. Sasa bas tukaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.