Recent content by ni huyo mm

  1. N

    Nimwambie ukweli wife au niendelee kushikilia msimamo wangu?

    Aliyeshikwa na ngozi ndio aliyekula nyama[emoji16][emoji16][emoji1787]
  2. N

    Nimwambie ukweli wife au niendelee kushikilia msimamo wangu?

    Ngoja nikomae kwanza na nyinyi mlale macho in case of anything
  3. N

    Nimwambie ukweli wife au niendelee kushikilia msimamo wangu?

    Yaan cna amani kabisa mlale macho wadau yaan hapa wife kabandika maji ya kunyonyoa kuku natamani kumwambie Nina hamu na maharage nahisi kuku naweza kuwa mm
  4. N

    Nimwambie ukweli wife au niendelee kushikilia msimamo wangu?

    Yaan najuta Bora hata ningeitia moto chupi ya elfu 3 inanivunjia ndoa
  5. N

    Nimwambie ukweli wife au niendelee kushikilia msimamo wangu?

    Mm tena nikichepukaaa nahisi kilichobaki ni kufumwa face to face nimechoka kwa kweli
  6. N

    Nimwambie ukweli wife au niendelee kushikilia msimamo wangu?

    Likipita hili salama kama nitarudia Tena mnipige mawe tu kwa kweliiiii
  7. N

    Nimwambie ukweli wife au niendelee kushikilia msimamo wangu?

    Asante kaka tatizo Kuna roho ya huzuni inanikaba Sanaa nahisi mkosaji snaaa aiseee hasa kumpazia yeye ndio mkosa
  8. N

    Nimwambie ukweli wife au niendelee kushikilia msimamo wangu?

    Yaan cna la kulaumu kwa kweli naona sir god kaniachia nipambane na Hali yangu
  9. N

    Nimwambie ukweli wife au niendelee kushikilia msimamo wangu?

    Hakika Ngoma ikivuma Sana inapasuka waswahili walinena, Leo ni siku mbaya sana ktk maisha yangu nahisi uwezo wangu wa kufikiri umefika mwisho. Ishu ipo hivi jana nilikuwa na mchepuko wangu kwenye gari na unajua Tena wawili wakiwepo watatu wao huwa ni shetani. Sasa bas tukaanza...
Back
Top Bottom