Recent content by ngwanduu

  1. N

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Hongera sana mama
  2. N

    JamiiForums Tanzania Mazungumzo ya Mfanyabiashara Rostam Aziz aliyoyafanya na UTV

    Anatema cheche ,hongera sana Rostam unaongea kwa fact ,wewe nimzalendo
  3. N

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Hongera sana serekali ya mama samia kwa maendeleo makubwa katika jimbo la same mashariki ,Umetujengea vituo vya Afya kila kata hakika mama umetuheshimisha. Umeweza kusambaza umeme kwenye kila kijiji mfano ni vijiji vya lugulu ,kanza ,vumba,vilivyopo kata ya lugulu vimeshaunganishiwa umeme...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Kweli Samia kajitahidi sana

    Kwakweli mama amejitahid xana kupeleka huduma karib na wananchi mfamo kijijini kwa bibi angu umeme umefika ,watu wanaona kama ndoto ,hongr xana mama
  5. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hongera nyingi kwa Mwenyekiti wa CCM na Rais Wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassani

    Ndio nyimbo zenu hizo ,29 oct ni kutiki tu ,
  6. N

    JamiiForums Tanzania Ogopa mtu ana maumivu lakini anacheka, mtu atakula pamba muda si mrefu

    Huna lolote
  7. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Upigaji kura wa leo CCM haukuwa wa wazi, ilikuwa maigizo

    Upigaji wa kura ulikua wawazi kabisa
  8. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hongera nyingi kwa Mwenyekiti wa CCM na Rais Wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassani

    Nakuhakikishia ccm itapata ushidi wa kishindo..
  9. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hongera nyingi kwa Mwenyekiti wa CCM na Rais Wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassani

    Hongera sana Raisi na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema CCM itajitahidi kuingiza vijana wengi kuwania nafasi za Ubunge na Udiwani katika Uchaguzi Mkuu 2025. Mwenyekiti Dkt. Samia amesema hayo leo tarehe 26 Julai...
  10. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tanzania inaenda kushuhudia mabadiliko makubwa ya kisiasa soon

    Hakuna wakumtoa Rais samia, usisahau yeye ndie Amiri jeshi mkuu
  11. N

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Viongozi mko wapi? Watoto wetu wanapigwa kama ng'ombe shule ya Sekondari Ibungiro

    Bibia inasema usimnyime mtt fimbo ,jp hazitakiw kuzidi
  12. N

    JamiiForums Tanzania Mnaodhani Rais Samia ataikomboa na kuleta maendeleo basi mnajidanganya mtakuja kuniprove siku moja

    Mama yupo vizuri sana,amejenga madarasa mengi sana na yakisasa,miundombinu kama barabara amejitahidi sana,mfano kuna barabara jimboni kwetu tangu enzi za mkapa niahadi tu ila mama katukumbuka barabara inapigwa lami ,kuanzia mkomazi hadi same kupitia ndungu gonja kisiwani.Wakulima tumeuza...
  13. N

    JamiiForums Tanzania EMs ni shule bora wazazi tutafute hela! hebu cheki feza boys watoto 62 wa kiume wote wana wani

    Hii shule noma sana ,tena nishule ya kata tuu
Back
Top Bottom