Tz watu hasa vijana wangekua na uelewa kama huu mpira ungefika mbali zaidi ya hapa ulipo. Asilimia kubwa ya vijana hawauelewi mpira. Ball possession ya Mamelodi ilikua ya back pass sana kwenye eneo lao na hasa kwa goalkeeper Williams akicheza na defenders wake. Ukiangalia kwenye statistics kuna...
Kwenye matuta mara nyingi team mwenyeji na hasa ambayo ni superior tayari huwa inakua Kwenye pressure, ni rahisi sana kupoteza. Mamelodi wasiombe kufika huko na hawatataka kufika huko, watajitahidi kumaliza mechi ndani ya 90 mins.
Vichaka vya kujificha Simba vinafyekwa vyote. Ooohh Yanga wamefika fainali kombe la shirikisho waje huku kwenye club bingwa. Oohh Yanga hawezi kuingia makundi ya champions league, mara Yanga akaingia tena kwa kishindo. Oohh Yanga wataishia makundi hawawezi kuingia robo fainali, Yanga wakatinga...
Mkuu, Simba ni underdog kwa Al Ahly kama ilivyo Yanga ni underdog kwa Mamelodi. Ubishi wa nini? Unapata shida kuitwa underdog? Pambana uwe mkubwa ili ukwepe hilo jina.
Cc Isanga family
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.