Recent content by Ngusi

  1. N

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahitaji kufahamu jinsi ya kununua hisa

    Mimi nina Hisa za NMB bei ya sokoni n 2,340 hisa moja, lakn mm nauza 2,100 kwa hisa moja. NMB n shirika ambalo linazid kupanda thamani mm nauza sababu ya shida ya Ada tu. Faida n kubwa cz thaman inapanda, nauza pungufu na unapata dividend kila mwaka. Nitakupa form ujaze na certificate utaipata...
Back
Top Bottom