Recent content by Ngungenge

  1. Ngungenge

    FT: Al Ahly 1-0 Young Africans | CAF CL | Cairo International Stadium | 01.03.2024

    Yanga hana malengo na hii match ili alike nusu anajitaji kuwa namba ya pil sio kuongoza kundi ili asikutane na simba bali TP Mazembe ndio target ya yanga
  2. Ngungenge

    Ramadhani Brothers waibuka washindi shindano la America's Got Talent Fantasy League, wanyakua Tsh milioni 637

    Mbona wanashindania pesa kidogo sana wakuu Milion 680 unafanyia nn
  3. Ngungenge

    Mwanamke wangu alinidharau baada ya kupata Kijana mwenye gari! Sasa anatamani kuwa na mimi tena

    Hongera Ukipata zaidi weka Lc 2000 Kisha weka mjengo gorofa
  4. Ngungenge

    Imetosha Kikwete Kusemwa, Mlitaka afanyeje?

    JK kosa lake ni moja tuu Kukata jina la Lowasa basi Hakuwa na sababu za msingi za kumkata Lowasa wala Lowasa hakuitaji favour ku campaign urais wake ndio mana alishinda hata alipokuwa chadema lakini wakapindua matokeo Ndio maana JPM alimuheshimu sana Lowasa sababu alijua kuwa Lowasa...
  5. Ngungenge

    Fahamu Mmea huitwao MCHUNGA ( DANDELION) inavyotibu maradhi sugu.

    Huu tunalishia sungura upo sana kitaa
  6. Ngungenge

    Cape Verde kajua Kutumia AFCON

    Cape Verde waje afcon ijayo tz
  7. Ngungenge

    Dunia ipo upande mwingine wa pesa ya mtandaoni (Digital currency)

    Siku ntakayoona nikitaka kununua cement atumia izo pesa za bitcoin sijui ndiyo siku nitajiunga
  8. Ngungenge

    Dunia ipo upande mwingine wa pesa ya mtandaoni (Digital currency)

    Unataka ku trade mtandaoni lakini lazima niweke cash Pesa lazima ufanye kazi
  9. Ngungenge

    Ipo Shida kwa SIMAI, Dr Mwinyi, Democracy inamipaka yake

    Simai lazima afundishwe nidhamu
Back
Top Bottom