Recent content by Ng'unda Jr

  1. N

    nahitaji mguu wa kuku

    Ahahahaaa!!! mjomba njoo handeni uchukue gobole bureeee :busu
  2. N

    Kwa nini maaskofu wanatumia alama ya freemason wakati wa kutubariki waumini?

    Si kweli kwamba ukristo unahalalisha ndoa za jinsia moja,juzi tu Rais Robert Mugabe amekemea vikali mahusiano ya jinsia moja vilevile Rais Yowel Kaguta Museven,je hawa si wakristo? suala la mtu kuwa na mahusiano ya jinsia moja ni silka ya mtu mwenyewe bila kujali dini yake:israel:
  3. N

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    :israel:shimo la panya halizibwi kwa kipande cha mkate
Back
Top Bottom