Huu muungano unaweza kuungwa mkono na mwenyekiti wa chama? Habari zisizothibitishwa Membe na Mwenyekiti ni brothers!! Ndio inasemekana Riz anamuunga mkono. Nijuzeni habari kuhusu hilo
Yote yanayotokea ni ges? Au fadhila? Je wachina wamepewa vitalu vya gesi kulipia fadhila? Mengi yamasemwa mitaani, wana jf tujuzeni ukweli, ni kweli inahusu kuokoa maisha ya mtu?
Maalimu aache ubaguzi? Acha hizo, mbaguzi huyo. Anazuga tu, kwa kuwa yuko kwenye serikali ya umoja. Akiwa mtawala Zenji. Kila kitu kitakuwa ni wapemba tu. UAMSHO HUYOOOO
Tena hao CUF na huyo maalimu mtawala mstaafu ndio uamsho. Hawataki muungano. Sasa mgoja huo muungano ufe kama kisiwa cha pemba kitawatosha. Pole ya yaliyotokea Arusha ya nini maalimu? Fanya tafrija
Kama Mh. Anashindwa kuchukua hatua, nani atamfunga paka kengele? Aliapa kulinda katiba ya nchi isiokuwa na dini, kiapo hicho bado kipo? Kwa nini basi kuwepo mauaji ya udini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.