a) nchi hii inatakiwa iongozwe katika safu ifuatayo maana hao ndio watu wawili muhimu katika uwajibikaji
1. Rais . Mh Lowasa Waziri mkuu wake Mh. John Magufuli
2. Rais. John Magufuli Waziri mkuu wake Dr. slaa
3. Rais . Slaa waziri mkuu wake awe...
nafikria sana kwa nini wanaume wenye malengo ya kuoa wanapowafata wanawake kwa lengo la kuoa huwa wanakataa na baada ya kutendwa wanakuja na kusema kuwa wanaume sio watu kabisa na tusiwaamini maana hawafai , wanashindwa kutambua kuwa kuna mme sahihi ambaye ni mwaminifu na anaupendo wa dhati...
aaaaaaaaa .............. nafikria kuoa......... dah ukilinganisha matukio kama hayo nachoka sana bora uniombe taraka kuliko kunifanyia hivyo. hatari sana. wengine wanaaga wanakwenda kuoga kumbe anakwenda kuogeshwa k..a yake na jamaa
umekaa bila mwanaume (nje ya uhusiano) kwa mda upi?, unajishugulisha na nini, unawatoto wangapi ni PM kwa hayo majibu? nakutakia kazi njema na mola akutangulie katika safari yako muhimu ya kupata ubavu wako, maana kuna vitu unavikosa kwa kukosa mtu sahihi wa ubavu wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.