Tatizo watu wameshaizoea tabia ya kuibiwa, harafu mwisho wa siku wanaipwayukia Serikali eti hakuna dawa mahospitalini wakati kuna wabobezi wa kuiba dawa hawawasemi wanakuja na lawama za kwa Waziri ambaye kila uchwao amekuwa akianika uozo na mwenendo mbaya ktk sekta ya afya. Jamani muacheni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.