Itatugharim sana kwasababu raisi ni mnafiki wa kupindukia, ameshiriki mabalaza ya mawaziri karibia awam tatu mbona hajawahi kulisemea? Kwasababu angeanzia huko ingekuwa vizuri, tena wenzie wasingemfukuza kwa kuwa wanaakili timamu, suo kama yeye, ukimpinga tu, anakufukuza....Ndio maana nasema...
Mbunge wa Moshi Mjini, Japhary Michael, ameeleza kusikitishwa kwake juu ya Maofisa Usalama kuwazuia yeye na Meya wa Manispaa hiyo kuingia Ikulu ndogo ya Moshi kuhudhuria kikao cha Rais John Magufuli na viongozi wa dini.
Michael ambaye ni wa CHADEMA, alisema tukio hilo lilitokea juzi baada ya...
Habari zilitufikia hivi punde zinaarifu kuwa mfanya Biashara maarufu na Mwenyekiti wa Yanga Yusuph Manji amefikishwa ktk Mahakama ya Kisutu.
Taarifa zinaarifu kuwa, mfanya biashara huyo tayari yuko ktk mahabusu ya Mahakama hiyo akisubiri kupandishwa kizimbani kwa tuhuma za kutumia madawa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.