Recent content by NGolo Kante

  1. NGolo Kante

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Frincesco Lentin binadamu aliyezaliwa na miguu mitatu

    Alikua ni raia wa Marekani alizaliwa 18/5/1889 nchini Marekani. Alizaliwa akiwa na miguu mitatu na yote ilikua inafanya kazi alizaliwa akiwa na sehemu za siri za kiume mbili (2) Shemu za siri za Kiume mbili na zote zilikua zinafanya kazi na alikua na jumla ya vidole kumi na sita (16) na...
  2. NGolo Kante

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kudhulumiwa na Mtandao wa Tigo Tanzania tukutane hapa

    Dawa ni kufika makao makuu tu hakuna nyingine
  3. NGolo Kante

    JamiiForums Tanzania Watani halisi wa Wanyakyusa ni nani kati ya Wakinga na Wasafwa?

    Eeeh tena Unaweza kuelezea kidogo mkuu hiyo imekaaje?
  4. NGolo Kante

    JamiiForums Tanzania Watani halisi wa Wanyakyusa ni nani kati ya Wakinga na Wasafwa?

    Ndugu wanaJF, Kama mnavyotambua kuwa kuna desturi ya makabila yanayopakana kuwa na utani au kuitana watani. Desturi hii imejenga ukaribu na ujirani mwema baina ya makabila husika. Mfano: Wahaya huwaita Wajita watani wao (Sijajua ni kutokana na wote kuishi pembezoni mwa ziwa au vp). Wachaga na...
  5. NGolo Kante

    JamiiForums Tanzania ULINZI WA DATA: Usalama taarifa binafsi shakani

    Dar es Salaam. Usajili wa taarifa za watu kwa mfumo wa kidigitali, umeanza kuibua wasiwasi wa usalama wa taarifa binafsi, hivyo kuibua hoja ya umuhimu wa kuwapo sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi na faragha nchini. Hoja ya kutungwa kwa sheria ya aina hiyo, imepata nguvu hasa baada ya uamuzi wa...
  6. NGolo Kante

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kudhulumiwa na Mtandao wa Tigo Tanzania tukutane hapa

    Pole sana Mkuu, karibu tuungane kufichua utapeli wa Tigo Tanzania
  7. NGolo Kante

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kudhulumiwa na Mtandao wa Tigo Tanzania tukutane hapa

    Kumbe ndio dawa yao
  8. NGolo Kante

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kudhulumiwa na Mtandao wa Tigo Tanzania tukutane hapa

    Ilikuwaje mkuu
  9. NGolo Kante

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kudhulumiwa na Mtandao wa Tigo Tanzania tukutane hapa

    Carica_papaya, Pole sana mkubwa hilo ni janga na hii janja janja inachezwa na Tigo
  10. NGolo Kante

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kudhulumiwa na Mtandao wa Tigo Tanzania tukutane hapa

    Mzee si unaona nimeweka hadi tarehe? Unadhani sijui ninachoandika
  11. NGolo Kante

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kudhulumiwa na Mtandao wa Tigo Tanzania tukutane hapa

    Kumbe hili janga ni kubwa. Tigo jitokezeni mtoe majibu ya utapeli huu
  12. NGolo Kante

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kudhulumiwa na Mtandao wa Tigo Tanzania tukutane hapa

    Naamini TCRA watapita katika uzi huu na kujiuone vilio vya Watanzania wachache tunaowakilisha wengi walionje ya JamiiForums
  13. NGolo Kante

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kudhulumiwa na Mtandao wa Tigo Tanzania tukutane hapa

    Huu ndio mchezo wao Mimi naugulia kwa zaidi ya wiki 2 sasa
  14. NGolo Kante

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kudhulumiwa na Mtandao wa Tigo Tanzania tukutane hapa

    Nadhani hata watu wanaowaajiri akili na uwezo wao kwenye taaluma na kazi ya Huduma kwa Wateja iko chini sana na yawezekana hata mishahara hawalipi vizuri au wanawatapeli pia maana hata huduma kwa wateja nayo ni ya ovyo
  15. NGolo Kante

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kudhulumiwa na Mtandao wa Tigo Tanzania tukutane hapa

    Ona sasa, huu ni utapeli wa wazi wazi. Tigo Tanzania unatuchosha wateja wenu kwanini mnatufanyia hivi? biashara inaendana na uaminifu sio hiki mnachifanya Internet yao yenyewe ni speed ya kobe lakini now wanaongeza na wizi juu
Back
Top Bottom